Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili kupisha kalenda ya FIFA, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inarejea leo ambapo mchezo mmoja utapigwa mkoani Mwanza
Vinara wa ligi hiyo Simba wako ugenini mbele ya Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni katika uwanja wa CCM Kirumba
Ni mechi inayozikutanisha timu mbili zenye malengo tofauti. Simba inahitaji ushindi ili kuhakikisha..... download Xtra 90 App



