Local,Normal News,Pamba, Simba

Pamba Jiji vs Simba, hapatoshi CCM Kirumba leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Nov 2024
Pamba Jiji vs Simba, hapatoshi CCM Kirumba leo

Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili kupisha kalenda ya FIFA, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inarejea leo ambapo mchezo mmoja utapigwa mkoani Mwanza

Vinara wa ligi hiyo Simba wako ugenini mbele ya Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni katika uwanja wa CCM Kirumba

Ni mechi inayozikutanisha timu mbili zenye malengo tofauti. Simba inahitaji ushindi ili kuhakikisha inaendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi huku Pamba Jiji wakihitaji ushindi ili kujiondoa katika eneo hatari la kuhuka daraja

Pamba Jiji inashika nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi ikiwa na alama nane ikiwa imeshinda mechi moja tu na kutoka sare mechi tano na kupoteza mechi tano

Simba inaongoza ligi ikiwa alama 25 baada ya kushinda mechi 8, kutoka sare moja na kupoteza moja

Kumekuwa na mvutano na vita ya maneno baina ya timu hizo nje ya uwanja jambo ambalo linaufanya mchezo huo kuvuta hisia za mashabiki wengi

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’