Mkurugenzi wa Ufundi wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, Abdihamid Moallin, amesema ataifanya timu hiyo kuwa kubwa barani Afrika, lakini pia kuzalisha wachezaji wenye vipaji na 'kulisha' klabu nyingine duniani
..... download Xtra 90 App



