Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi tatu zitapigwa katika viwanja mbalimbali
KenGold watakuwa na kazi ya kujiondoa chini ya msimamo pale watakapowakabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa saa 8 mchana
Mashujaa na Namungo Fc zitaumana katika mchezo utakaopigwa Lake Tanganyika mkoani Kigoma na baadae Azam Fc kuhitimisha mechi za leo wakiumana na Kagera Sugar uwanja wa..... download Xtra 90 App



