Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi tatu zitapigwa katika viwanja mbalimbali
KenGold watakuwa na kazi ya kujiondoa chini ya msimamo pale watakapowakabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa saa 8 mchana
Mashujaa na Namungo Fc zitaumana katika mchezo utakaopigwa Lake Tanganyika mkoani Kigoma na baadae Azam Fc kuhitimisha mechi za leo wakiumana na Kagera Sugar uwanja wa Azam Complex
