Tabora United vs Singida BS kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th November 2024


Tabora United vs Singida BS kupigwa leo

Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United dhidi ya Singida Black Stars uliokuwa uchezwe jana Novemba 24 kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi Tabora uliahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha uwanja kujaa maji

Kutokana na kadhia hiyo, mchezo huo umepagwa kuchezwa leo Jumatatu Novemba 25, 2024 saa 4:00 asubuhi

Kamishna kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Said Mkai amesema walifanya jitihada za kuhakikisha mchezo huo unachezwa jana lakini ilishindikana

Mkai alibainisha makubaliano ya mchezo huo kuahirishwa yalifikiwa kwa timu zote mbili kushirikishwa na kuamua uahirishwe


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.