Local,Normal News,Tabora, Singida

Tabora United vs Singida BS kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Nov 2024
Tabora United vs Singida BS kupigwa leo

Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United dhidi ya Singida Black Stars uliokuwa uchezwe jana Novemba 24 kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi Tabora uliahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha uwanja kujaa maji

Kutokana na kadhia hiyo, mchezo huo umepagwa kuchezwa leo Jumatatu Novemba 25, 2024 saa 4:00 asubuhi

Kamishna kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Said Mkai amesema walifanya jitihada za kuhakikisha mchezo huo unachezwa jana lakini ilishindikana

Mkai alibainisha makubaliano ya mchezo huo kuahirishwa yalifikiwa kwa timu zote mbili kushirikishwa na kuamua uahirishwe

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’