Klabu ya Singida Black Stars jana ilitangaza kuwasimamisha makocha wake wawili, Patrick Aussems na msaidizi wake Dennis Kitambi kutokana na matokeo mabaya, huku ikidaiwa kumwania Miguel Gamondi aliyeachana na Yanga hivi karibuni
Baada ya matokeo ya sare ya mabao 2-2 na Tabora United kwenye Uwanja wa Al Hassan Mwinyi, mchezo wa Ligi Kuu Bara, Singida BS ilitangaza kuwasimamisha makocha hao..... download Xtra 90 App



