Local,Normal News,Yanga, Hilal

Yanga yaanza kwa kipigo makundi CAFCL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Nov 2024
Yanga yaanza kwa kipigo makundi CAFCL

Yanga imeanza vibaya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Afrika ikikubali kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Al Hilal katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Mabao ya kipindi cha pili yaliyofungwa na Adama Colibaly na Yassir Mozamir yametosha kumuhakikishia kocha Florent Ibenga ushindi muhimu ambao umeipeleka Al Hilal kileleni mwa kundi A

Kocha wa Saed Ramovic ana kazi ya kufanya kwani kikosi chake hakikutengeneza nafasi nyingi licha ya Kennedy Musonda kukosa nafasi adimu katika kipindi cha pili mpira wake wa kichwa ukigonga mwamba

Katika mchezo mwingine wa kundi A uliopigwa DR Congo, TP Mazembe imelazimishwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya MC Alger

Al Hilal wanaongoza kundi A wakiwa na alama tatu huku Mazembe na MC Alger zikifuatia na alama moja na Yanga kuburuza mkia

Ni mchezo wa tatu mfululizo Yanga inapoteza katika mashindano yote

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’