Local,Normal News,Azam, Singida

Azam Fc kuikabili Singida Black Stars leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Nov 2024
Azam Fc kuikabili Singida Black Stars leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unatarajiwa kupigwa uwanja wa Azam Complex Azam Fc wakiwa wenyeji wa Singida Black Stars

Ni mechi ya kuamua nani anakaa nafasi ya pili kati ya timu hizo ambazo zote zimekusanya alama 24 baada ya kuchez mechi 11

Azam Fc wana uwiano mzuri wa mabao, wanaishikilia nafasi hiyo kwa sasa mbele ya Yanga na Singida BS

Ushindi kwa Azam Fc utawafanya wasogee karibu zaidi ya Simba inayoongoza ligi ikiws na alama 28 lakini hata matokeo ya sare yatawabakisha katika nafasi hiyohiyo

Lakini kama Singida BS watashinda watasogea hadi nafasi ya pili, sare itawasogeza nafasi ya tatu lakini wakipoteza watasailia katika nafasi yao

Singida BS wako chini ya Kaimu Kocha Mkuu Ramadhan Nsanzurwimo aliyechukua mikoba ya Patrick Aussems aliyetimuliwa baada ya kukosa ushindi katika mechi tatu mfululizo

Mtangane huo unatarajiwa kupigwa saa 1 usiku..

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
6m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’