Baada ya kukamilika kwa mechi za raundi ya kwanza kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC), wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo, Simba na CS Constantine ya Algeria ndio vinara wa kundi A baada ya kushinda kwa bao 1-0 katika mechi zao
CS Constantine waliichapa CS Cfaxien bao 1-0 huku Simba ikipata ushindi kama huo dhidi ya Bravos Fc
Huu hapa msimamo wa makundi yote;