Local,Normal News,Pamba, Simba

Pamba Jiji, Simba zakumbana na rungu la TPLB

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Dec 2024
Pamba Jiji, Simba zakumbana na rungu la TPLB

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imezitoza faini klabu za Simba na Pamba kufuatia matukio yaliyojitokeza kabla ya mchezo wa ligi kuu uliozikutanisha timu hizo Novemba 22 2024

Klabu ya Pamba Jiji imetozwa faini ya Tsh Milioni 5 kufuatia kitendo cha maafisa wake kuingilia mazoezi ya Simba siku moja kabla ya mchezo tukio lililotokea uwanja wa CCM Kirumba

Aidha Simba imetozwa faini ya Tsh Milioni 5 kwa kosa la walinzi wake kufanya vurugu wakati wakijaribu kuwatoa nje ya uwanja maafisa hao wa Pamba

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Bodi, Simba imetakiwa kulipa gharama za uharibifu uliofanyika katika ofisi ya Meneja Msaidizi wa uwanja wa CCM Kirumba

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’