Local,Normal News,Yanga

Yanga kuifuata MC Alger leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Dec 2024
Yanga kuifuata MC Alger leo

Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini leo kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa raundi ya pili hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL)

Jumamosi, Disemba 07 Yanga itamenyana na MC Alger katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Julai 05 huko Algeria

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema timu itaondoka leo Jumanne, jioni

Yanga ilipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Al Hilal hivyo mabingwa hao wa Tanzania Bara wanakwenda Algeria kusaka ushindi ili kuweka hai matumaini ya kufuzu robo fainali

Wako nafasi ya nne katika kundi A linaloongozwa na Al Hilal yenye alama tatu huku MC Alger na TP Mazembe zikifuatia na alama moja baada ya mchezo baina yao kumalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana wiki iliyopita

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’