Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini leo kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa raundi ya pili hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL)
Jumamosi, Disemba 07 Yanga itamenyana na MC Alger katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Julai 05 huko Algeria
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema timu itaondoka leo Jumanne, jioni





