Jude Bellingham na Kylian Mbappe juzi walifunga mabao ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Getafe na kuifanya Real Madrid wakizidi kusogea kileleni mwa msimamo wa ligi sasa wakitofautiana alama moja tu na kinara wa LaLiga Barcelona wakiwa na mchezo mkononi
..... download Xtra 90 App



