Local,Transfer News,Pamba, Dodoma

Pamba Jiji wamtaka Paul Peter

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Dec 2024
Pamba Jiji wamtaka Paul Peter

Klabu ya Pamba Jiji imetuma maombi kwa klabu ya Dodoma Jiji kwa ajili ya kumtaka mshambuliaji Paul Peter, imefahamika

Pamba Jiji imedhamiria kutumia dirisha dogo la usajili kujiimarisha ambapo wameweka kipaumbele katika eneo la safu ya ushambuliaji

Paul Peter amekuwa na msimu mzuri mpaka sasa akiifungia Dodoma Jiji mabao manne katika ligi kuu ya NBC msimu huu

Hata hivyo Dodoma Jiji hawaonekani kuwa na nia ya kumruhusu nyota huyo wa zamani wa Azam Fc ambapo tayari wameanza mazungumzo ya kumuongeza mkataba

Taarifa zaidi imedokeza hata klabu ya KMC ilihitaji huduma ya mshambuliaji huyo lakini Dodoma Jiji hawakuwa tayari kumuachia

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’