Kocha mpya wa Leicester Ruud van Nistelrooy amesema hakutaka kuondoka Manchester United akiwa na alitamani kubakia, lakini kwa sasa anaweka nguvu katika klabu yake mpya
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Mashetani Wekundu alichukua nafasi ya Steve Cooper siku ya Ijumaa, na kusaini mkataba hadi 2027
Hatua hii inakuja baada ya kocha huyo kuiongoza Man United katika michezo minne kama..... download Xtra 90 App



