Real Madrid ilipokea kichapo cha mabao 2-1 kwenye LaLiga dhidi ya Athletic Bilbao huku Kylian Mbappe akikosa mkwaju wa penalti tena Jumatano usiku
Alex Berenguer aliwaongoza wenyeji dakika ya 53 kabla ya Mbappe - ambaye alishindwa kufunga penalti ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Liverpool wiki iliyopita - kupeleka mkwaju wake karibu sana na kipa wa Bilbao Julen Agirrezabala





