Local,Normal News,Kagera, Prisons

Kagera Sugar kujiuliza kwa Tanzania Prisons leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Dec 2024
Kagera Sugar kujiuliza kwa Tanzania Prisons leo

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unatarajiwa kupigwa mkoani Kagera

Wenyeji Kagera Sugar wataikaribisha Tanzania Prisons katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Kaitaba saa 1 usiku

Baada ya kukosa ushindi katika mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa ambao wenyeji walirudisha bao dakika za lala salama na kufanya ubao usome 1-1, hii ni mehci nyingine muhimu kwa Kagera Sugar kubeba alama tatu ili kujiondoa katika eneo la hatari kwenye msimamo wa ligi

Hata hivyo wanakutana na Tanzania Prisons ambayo pia inazihitaji alama tatu kujiondoa kwenye hatari pia

Prisons wamekuwa na mwendo wa kusuasua msimu huu wakichapwa mabao 2-1 na Coastal Union katika mchezo uliopita

Wanashika nafasi ya 14 katika msimamo wa ligi wakiwa na alama 10 huku Kagera Sugar wakishika nafasi ya 15 wakiwa na alama 9

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
2h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
4h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
8h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
9h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
11h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’