Makundi kombe la Dunia la klabu 2025

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th December 2024


Makundi kombe la Dunia la klabu 2025

Droo ya Klabu Bingwa Dunia imechezeshwa jana ambapo Mabingwa watetezi Manchester City watakutana na Juventus katika hatua ya makundi huku Chelsea wakikutana na timu ya Flamengo kutoka Brazil

Man City ambao waiifunga Fluminense kutoka Brazil kwenye fainali za msimu uliopita ilitwaa taji hilo kwa mara ya kwanza 2023, wataanza kutetea taji lao dhidi ya Wydad ya Morocco na pia kucheza na Al Ain kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu katika Kundi G

Huu hapa mpangilio wa makundi;

  • Kundi A: Palmeiras, FC Porto, Al Ahly, Inter Miami
  • Kundi B: Paris St-Germain, Atletico Madrid, Botafogo, Seattle Sounders
  • Kundi C: Bayern Munich, Auckland City, Boca Juniors, Benfica
  • Kundi D: Flamengo, Esperance Sportive de Tunisie, Chelsea, Club Leon
  • Kundi E: River Plate, Urawa Red Diamonds, Monterrey, Inter Milan
  • Kundi F: Fluminense, Borussia Dortmund, Ulsan, Mamelodi Sundowns
  • Kundi G: Manchester City, Wydad, Al Ain, Juventus Kundi
  • Kundi H: Real Madrid, Al Hilal, Pachuca, Salzburg.

  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’