Droo ya Klabu Bingwa Dunia imechezeshwa jana ambapo Mabingwa watetezi Manchester City watakutana na Juventus katika hatua ya makundi huku Chelsea wakikutana na timu ya Flamengo kutoka Brazil
Man City ambao waiifunga Fluminense kutoka Brazil kwenye fainali za msimu uliopita ilitwaa taji hilo kwa mara ya kwanza 2023, wataanza kutetea taji lao dhidi ya Wydad ya Morocco na pia kucheza na Al Ain kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu katika Kundi G
Huu hapa mpangilio wa makundi;
- Kundi A: Palmeiras, FC Porto, Al Ahly, Inter Miami
- Kundi B: Paris St-Germain, Atletico Madrid, Botafogo, Seattle Sounders
- Kundi C: Bayern Munich, Auckland City, Boca Juniors, Benfica
- Kundi D: Flamengo, Esperance Sportive de Tunisie, Chelsea, Club Leon
- Kundi E: River Plate, Urawa Red Diamonds, Monterrey, Inter Milan
- Kundi F: Fluminense, Borussia Dortmund, Ulsan, Mamelodi Sundowns
- Kundi G: Manchester City, Wydad, Al Ain, Juventus Kundi
- Kundi H: Real Madrid, Al Hilal, Pachuca, Salzburg.



