Wakati kikosi cha Simba kikiwa Algeria kwa ajili ya mchezo wa pili wa hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine, kiungo mshanbuliaji Elie Mpanzu ameendelea kujifua takribani wiki moja na siku kadhaa zikiwa zimesalia kabla ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa
Disemba 18 Mpanzu anaweza kuanza kuitumikia Simba katika mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu dhidi ya Ken..... download Xtra 90 App



