Local,Transfer News,Yanga, Singida

Yanga kuvuta kiungo Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Dec 2024
Yanga kuvuta kiungo Singida BS

Wakati zimebaki siku sita tu kabla ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa, Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kupata saini ya kiungo mkabaji wa Singida Black Stars, Kelvin Nashon, imefahamika

Habari kutoka ndani ya Yanga, zinasema kuwa mchezaji huyo ana asilimia kubwa ya kujiunga na Yanga kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita

Nashon anatarajiwa kutua kuongeza nguvu kusaidiana na Khalid Aucho ambaye kwa sasa amekuwa akiandamwa na majeraha ya mara kwa mara, akicheza pia mechi nyingi ambazo zimeonekana kuathiri kiwango chake

"Nadhani Nashon anaweza kutusaidia kwa sasa, tutamchukua kwa mkataba wa muda mfupi wa miezi sita, kama akifanya vizuri, basi mwishoni mwa msimu tutakaa na Singida Black Stars kwa ajili ya kufanya biashara nyingine, kwani tutamsajili kwa miaka miwili"

"Angalia hivi sasa kocha wetu, Sead Ramovic, ameamua kumchezesha Duke Abuya namba sita, wakati ni winga na kiungo mshambuliaji, kwa sababu tuna mapungufu kidogo kwenye eneo hilo, tunachohitaji ni ubora na Nashon timu zote alizoenda ameonekana yupo imara na kiwango chake hakishuki," alisema mtoa taarifa

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
59m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’