Local,Normal News,Simba, Sfaxien

Simba, CS Sfaxien zatua pamoja Dar

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Dec 2024
Simba, CS Sfaxien zatua pamoja Dar

Klabu ya Simba imerejea nchini Alfajiri ya leo Jumanne wakitokea Algeria katika mchezo wa raundi ya pili hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine ambao walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1

Wakati Simba ikitua, wapinzani wao katika kundi A, CS Sfaxien ya Tunisia nayo imetua nchini alfajiri kuelekea mchezo wa raundi ya tatu dhidi ya Simba

Ni Jumapili Disemba 15 katika uwanja wa Benjamin Mkapa Simba na CS Sfaxien zitaumana mechi ya kusaka tiketi ya kutinga robo fainali

CS SFaxien wametokea Angola ambako juzi walichapwa mabao 3-2 dhidi ya Bravos. Watunisia hao wamepoteza mechi zote mbili za kwanza wakiburuza mkia kundi A

Ni wazi wameuchukulia mchezo huo dhidi ya Simba kwa umuhimu mkubwa pengine ndio sababu wamekuja nchini mapema

Hata hivyo watahitaji kufanya kazi ya ziada kuchukua alama mbele ya Simba ambayo pia imetoka kupoteza mchezo kule Algeria

Simba inazihitaji alama tatu za mchezo huo ili kuweka hai mkakati wao wa kufuzu robo fainali

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’