Mnyama amebeba alama zote tatu uwanja wa Benjamin Mkapa akiondoka na ushindi wa mabao 2-1 katika mechi muhimu ya hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya CS Sfaxien
Kibu Denis leo alikuwa shujaa wa Simba akifunga mabao yote mawili katika mchezo huo uliokuwa na presha kubwa
Makosa ya beki Che Malone Fondoh yaliinufaisha CS Sfaxien kufunga bao la mapema dakika ya pili..... download Xtra 90 App



