Ushindi wa mabao 2-1 ambao Simba waliupata dhidi ya CS Sfaxien jana katika michuano ya kombe la Shirikisho (CAF CC) umeendelea kuiweka timu hiyo katika nafasi nzuri ya kufuzu robo fainali
Hata hivyo ushindani ni mkali katika kundi A kwani Bravos nao wamefikisha alama 6 baada ya kuichapa CS Constantine nyumbani na kukaa kileleni mwa msimamo kwa wingi wa mabao ya kufunga
Huu hapa msimamo wa makundi yote



