Msimamo wa makundi CAF CC baada ya raundi ya 3

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th December 2024


Msimamo wa makundi CAF CC baada ya raundi ya 3

Ushindi wa mabao 2-1 ambao Simba waliupata dhidi ya CS Sfaxien jana katika michuano ya kombe la Shirikisho (CAF CC) umeendelea kuiweka timu hiyo katika nafasi nzuri ya kufuzu robo fainali

Hata hivyo ushindani ni mkali katika kundi A kwani Bravos nao wamefikisha alama 6 baada ya kuichapa CS Constantine nyumbani na kukaa kileleni mwa msimamo kwa wingi wa mabao ya kufunga

Huu hapa msimamo wa makundi yote


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.