Local,Normal News,Simba

Wizara yalaani vurugu dimba la Mkapa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Dec 2024
Wizara yalaani vurugu dimba la Mkapa

Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Palamagamba Kabudi amesikitishwa na vitendo vya mashabiki kung’oa viti katika uwanja wa Benjamin Mkapa Siku ya jana katika mchezo wa kombe la Shirikisho kati ya Simba dhidi ya CS Sfaxien

Waziri Kabudi amemuagiza Katibu mkuu wa wizara hiyo kuchukua hatua mara moja kuwaandikia barua Simba na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili gharama za uharibifu zilizosababishwa wakati wa wa mechi hiyo zilipwe

Aidha klabu ya Simba imetakiwa kutoa Ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili wote waliong’oa viti wakamatwe na wachukuliwe hatua za kisheria ili kukomesha tabia hiyo

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
38m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’