Nyota wa Real Madrid, Vini Jr jana alitawazwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa FIFA kwa upande wa Wanaume huku Aitana Bonmati akishinda tuzo hiyo kwa upande wa wanawake
Vinicius mwenye umri wa miaka 24 alisikitishwa sana na kushindwa na kiungo wa kati wa Manchester City Rodri kwa tuzo ya Ballon d'Or mwezi Oktoba na kupelekea yeye na timu yake ya Madrid walipuuza sherehe hizo mjini..... download Xtra 90 App



