International,Normal News,Real Madrid, Local

Vini Jr mchezaji bora wa mwaka FIFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Dec 2024
Vini Jr mchezaji bora wa mwaka FIFA

Nyota wa Real Madrid, Vini Jr jana alitawazwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa FIFA kwa upande wa Wanaume huku Aitana Bonmati akishinda tuzo hiyo kwa upande wa wanawake

Vinicius mwenye umri wa miaka 24 alisikitishwa sana na kushindwa na kiungo wa kati wa Manchester City Rodri kwa tuzo ya Ballon d'Or mwezi Oktoba na kupelekea yeye na timu yake ya Madrid walipuuza sherehe hizo mjini Paris

Wakati huu, Rodri alimaliza wa pili kwa Vinicius kwa alama tano. Fowadi huyo wa Brazil alikuwa kwenye hafla ya FIFA ya kuchukua tuzo yake, baada ya kusafiri hadi Doha Jumatatu na Madrid kwa fainali ya Kombe la Mabara dhidi ya Pachuca

"Sijui hata nianzie wapi," Vinicius alisema kwa Kireno. Nilikuwa mbali sana hivi kwamba ilionekana kuwa haiwezekani kufika hapa. Nilikuwa mtoto ambaye alicheza soka bila viatu tu kwenye mitaa ya Sao Goncalo, karibu na umaskini na uhalifu"

"Kufika hapa ni jambo muhimu sana kwangu. Ninafanya hivyo kwa ajili ya watoto wengi wanaofikiri kwamba kila kitu hakiwezekani na wanaofikiri hawawezi kufika hapa"

Tuzo ya golikipa bora ilikwenda kwa Emiliano Martinez huku Carlo Ancelloti kocha wa Real Madrid akibeba tuzo ya kocha bora wa mwaka

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
37m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’