Local,Normal News,Prisons, Yanga

Prisons yamfuta kazi Makata

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Dec 2024
Prisons yamfuta kazi Makata

Klabu ya Tanzania Prisons imemfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mbwana Makata na aliyekuwa Kocha Msaidizi wake

Ni kutokana na mfululizo wa matokeo yasiyo ridhisha ikitoka kuchapwa mabao 2-0 na Singida Black Stars na kushuka hadi nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi yenye timu 16

Kwa sasa timu hiyo iko chini ya Kaimu Kocha Mkuu Shaban Kazumba na Msaidizi wake Shaban Mtupa.

Mchezo unaofuata kwa Tanzania Prisons ni dhidi ya Yanga ambao utapigwa Disemba 22 katika uwanja wa KMC Complex

Prisons inatarajiwa kuondoka Mbeya leo kuelekea Dar es salaam tayari kwa mchezo huo

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’