Uongozi wa Simba umepokea barua ya ombi la kuvunja mkataba kutoka kwa mlinda lango Aishi Manula ambaye amepoteza nafasi katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo
Taarifa za ndani zimethibitisha kuwa Manula ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake wa miezi sita uliobaki ili akatafute changamoto sehemu nyingine
Aidha presha ni kubwa kwa Simba kwa kuwa Manula ndiye kipa tegemeo wa..... download Xtra 90 App



