Local,Transfer News,Simba

Manula aomba kuondoka Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Dec 2024
Manula aomba kuondoka Simba

Uongozi wa Simba umepokea barua ya ombi la kuvunja mkataba kutoka kwa mlinda lango Aishi Manula ambaye amepoteza nafasi katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo

Taarifa za ndani zimethibitisha kuwa Manula ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake wa miezi sita uliobaki ili akatafute changamoto sehemu nyingine

Aidha presha ni kubwa kwa Simba kwa kuwa Manula ndiye kipa tegemeo wa timu ya Taifa na kutocheza kwake kunaweza kuathiri mipango ya Stars kuelekea fainali za CHAN 2025 zitakazofanyika Februari 2025 na michuano ya Afcon 2025

Kwa sasa Manula hana nafasi katika kikosi cha Simba, Moussa Camara ndiye kipa namba moja akisaidiwa na Ali Salim ambaye ni kipa namba 2

Huenda mlinda lango huyo aliyejijengea heshima kubwa Simba na kuitwa Tanzania One, akaruhusiwa kuondoka katika dirisha hili

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’