Local,Normal News,

Rupia aongoza ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Dec 2024
Rupia aongoza ufungaji bora

Mshambulaji wa Singida Black Stars Elvis Rupia bado yuko kileleni katika mbio za ufungaji bora wakati mechi 15 za duru ya kwanza zikielekea kukamilika

Rupia anaongoza na mabao yake 7 akifuatiwa na Selemani Mwalimu aliyepachika mabao 6 sawa na Jean Ahoua wa Simba ambaye pia amepachika mabao 6

Edgar Willian (Fountain Gate), Peter Lwasa (Kagera Sugar) na Lionel Ateba (Simba) wanafuatia katika orodha hiyo kila mmoja akiwa amefunga mabao 5

Mlinda lango wa Moussa Camara wa Simba anaongoza kwa cleensheet(10), Akifuatiwa na Patrick Munthali wa Mashujaa mwenye cleenshet 8 huku Djigui Diarra akiwa wa tatu na cleensheet 7

Kwa upande wa vinara wa pasi za mabao, Feisal Salum (Azam Fc) ni kinara akitoa pasi 7 akifuatiwa na Salum Kihimbwa (Fountain Gate) aliyetoa pasi 5

Stephane Aziz Ki, Jean Ahoua na Josephat Author kila mmoja ametoa pasi 4 za mabao

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
7h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
10h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
17h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
17h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
19h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
22h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’