Local,Normal News,Simba, Singida, KenGold, JKT

Simba, Singida BS viwanjani Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Dec 2024
Simba, Singida BS viwanjani Ligi Kuu

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa

Mchezo wa mapema saa 8 utapigwa uwanja wa CCM Liti ambapo Singida Black Stars watakuwa wenyeji wa vibonde KenGold

Ushindi kwa Singida BS utawahakikishia walima alizeti hao kufikisha alama 33 na kuwa sawa na Yanga na Azam Fc zilizo juu yao

Singida BS walio nafasi ya nne katika msimamo, watahitaji ushindi wa zaidi ya mabao 4 ili kuiondoa Azam Fc katika nafasi ya tatu

Mambo bado ni magumu upande w KenGold ambao wamekusanya alama 6 kutoka mechi 14

Matokeo ya ushindi kwao hayawezi kuwaondoa mkiani lakini yatapunguza gap la pointi dhidi ya timu zilizo juu yake

Vinara wa ligi hiyo Simba watachuana na JKT Tanzania katika mchezo mwingine utakaopigwa saa 10 jioni

Ushindi kwa Simba utawahakikishia kuendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi kabla ya mchezo wao dhidi ya Singida BS utakaopigwa Disemba 28 huko Singida

JKT Tanzania yenye alama 19,  inashika nafasi ya 8 inaweza kusogea hadi nafasi ya 6 kama itaibuka na ushindi

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’