Kocha Mkuu wa Yanga Sead Ramovic amesema kikosi chake kiko tayari kwa mechi ngumu ya ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji ambayo itapigwa kesho Jumatano katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari, Ramovic alisema ameichambua Dodoma Jiji na kubaini ni timu ngumu hasa inapocheza katika uwanja wa Jamhuri hivyo watahitaji kucheza kwa tahadhari kubwa ili kupata..... download Xtra 90 App



