Local,Normal News,Yanga, Wydad

Msuva, Wydad bado hakijaeleweka

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Dec 2024
Msuva, Wydad bado hakijaeleweka

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Iraq, Simon Msuva amesema bado hajaingiziwa pesa zozote kutoka Wydad AC anazowadai

Msuva aliishtaki Wydad Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kutokana na kushindwa kumlipa pesa za usajili ikiwemo malimbikizo ya mshahara Dola 700,000 sawa na zaidi ya Sh1.6 bilioni

Msuva amethibitisha kuwa bado anaendelea kusubiri kwani hadi sasa bado hajaingiziwa fedha hizo

"Sina mengi ya kukuelezea lakini tuendelee kusubiri hadi sasa sijalipwa pesa yangu, hivyo Wydad imefungiwa kusajili wachezaji wa ndani ya Morocco na nje ya kimataifa hadi watakaponilipa pesa zangu," Msuva alinukuliwa na Mwanaspoti

Julai 2022, Mshambuliaji huyo aliishtaki Wydad kwa kosa la kuvunja mkataba kinyume na utaratibu baada ya kuwa katika mvutano wa kimasilahi na vigogo hao wa soka la Afrika ambao walimsajili Novemba 2020 akitokea Difaa El Jadida ya Morocco

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
59m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’