Kiungo mshambuliaji wa Simba, Jean Ahoua na Feisal Salum 'Fei Toto' wa Azam FC, wanaongoza kwa kufunga mabao ya penalti katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu inayoendelea
Wachezaji hao wamefunga mabao matatu kwa njia hiyo, wakiwa hawajapoteza hata penalti moja waliyopewa dhamana ya kupiga
Ahoua alitimiza bao la tatu kwa njia ya tuta alipofunga na kuipa Simba ushindi wa..... download Xtra 90 App



