Beki wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Arnold, 26, yuko mbioni kusaini mkataba na Real Madrid , huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza akiendelea kupuuza ofa mpya za kuongeza mkataba wake wa sasa unaomalizika msimu huu wa joto. (AS - in Spanish)
Liverpool itawanunua beki wa Bayer Leverkusen Mholanzi Jeremie Frimpong na beki wa Bayern Munich Alphonso Davies, wote 24, ikiwa..... download Xtra 90 App



