Singida BS yashusha beki Mkenya

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th January 2025


Singida BS yashusha beki Mkenya

Klabu ya Singida Black Stars inatajwa kuwa katika hatua za mwisho kukamilisha usajili ws mlinzi wa kulia raia wa Kenya, Rooney Onyango

Vyanzo vya habari nchini Kenya vimethibitisha Onyango (23) atatua Singida BS baada ya makubaliano ya mauziano ya mchezaji huyo kufikiwa

Tayari Singida BS walishafikubaliana na mchezaji juu ya maslahi yake binafsi

Idadi ya Wakenya wanaocheza ligi kuu ya Tanzania bara inazidi kuongezeka

Katika klabu ya Singida BS, Onyango ataungana na Elvis Rupia kinara wa mabao NBC PL ambaye pia ni raia wa Kenya


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.