Local,Transfer News,Tabora

Mpepo anukia Tabora United

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Jan 2025
Mpepo anukia Tabora United

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa akikipiga kunako ligi kuu ya nchini Zambia, Eliuter Mpepo , yuko mbioni kusaini mkataba kujiunga na Tabora United

Mbali na Tabora, mchezaji huyo amegeuka lulu kwenye Ligi Kuu ya NBC baada vilabu vingine kuingilia dili hilo wakiitaka saini yake

Mpepo amewahi kukipiga Mtibwa Sugar, Prisons, Singida United, Build Con na Trident zote za Zambia na Interclube ya Angola

Waajiri wake wa zamani, Tz Prisons wao wameenda mbali zaidi na tayari wapo kwenye mazungumzo na nyota huyo ili kuweza kuinasa saini yake

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’