Licha ya kikosi chake kuhitaji sare tu dhidi ya Bravos ili kutinga robo fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC), Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema wanakwenda Angola kwenda kusaka alama tatu
Mwishoni mwa wiki iliyopita, Simba iliandikisha ushindi wake wa kwanza ugenini msimu huu katika michuano ya kombe la Shirikisho (CAF CC) wakiichapa CS Sfaxien bao 1-0 katika mchezo uliopigwa..... download Xtra 90 App



