Local,Normal News,Yanga

Chama aongeza nguvu Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Jan 2025
Chama aongeza nguvu Yanga

Kiungo mshambuliaji wa Yanga Clatous Chama amerejea katika timu hiyo baada ya kupona majeraha yaliyomuweka nje kwa takribani wiki tatu

Chama aliumia kiwiko cha mkono katika mchezo wa raundi ya tatu hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa dhidi ya TP Mazembe uliopigwa Lubumbashi na kumalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amethibitisha urejeo wa Chama ambaye ameanza mazoezi na wachezaji wenzake

Hata hivyo Kamwe amesema Yanga itaendelea kuwakosa Yao Kouassi, Maxi Nzengeli na Aziz Andambwile ambao bado wanauguza majeraha

Nyota hao wataukosa mchezo wa marudiano dhidi ya Al Hilal utakaopigwa Jumapili, Januari 12 huko Mauritania

Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini Alfajiri ya Alhamisi kuelekea Mauritania

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’