Kiungo mshambuliaji wa Yanga Clatous Chama amerejea katika timu hiyo baada ya kupona majeraha yaliyomuweka nje kwa takribani wiki tatu
Chama aliumia kiwiko cha mkono katika mchezo wa raundi ya tatu hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa dhidi ya TP Mazembe uliopigwa Lubumbashi na kumalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amethibitisha..... download Xtra 90 App



