Local,Normal News,Yanga, Simba

Yanga, Simba zapaa kusaka pointi ugenini

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Jan 2025
Yanga, Simba zapaa kusaka pointi ugenini

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF msimu huu Yanga na Simba leo wamesafiri nje ya nchi kusaka alama muhimu katika michuano ya ligi ya mabingwa (CAF CL) na kombe la Shirikisho (CAF CC)

Yanga inakabiliwa na mechi ngumu huko Mauritania kuwania alama tatu mbele ya Al Hilal katika mchezo ambao unaweza kuamua hatma ya Wananchi katika kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa

Yanga inahitaji kushinda mchezo huo utakaopigwa Jumapili, Januari 12 ili kuweka hai matumaini ya kufuzu robo fainali

Watani zao Simba wao wameelekea Angola kuikabili Bravos Fc katika mchezo wa kombe la Shirikisho utakaopigwa Jumapili, Januari 12

Simba inahitaji ushindi au sare ili kufuzu robo fainali mapema

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
44m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’