Jana Simba ilifanya mazoezi katika uwanja wa Novemba 11 huko Angola kuelekea mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Bravos utakaopigwa kesho Jumapili, Januari 12
Simba iililazimika kujifua katika uwanja huo jana badala ya siku ya leo kulingana na kanuni zinavyoelekeza kwa kuwa leo kutakuwa na mchezo wa ligi ya mabingwa kati ya Sagrada Esperance dhidi ya Pyramids





