International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumapili Januari 12 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Jan 2025
Tetesi za usajili Ulaya, Jumapili Januari 12 2025

Napoli wanatarajiwa kuwasilisha ombi la kumnunua mshambuliaji wa Manchester United na Muingereza Marcus Rashford, 27, huku winga wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia akitarajiwa kuondoka katika klabu hiyo ya Italia. (Mirror)

Paris St-Germain wanakaribia kumsajili Kvaratskhelia kutoka Napoli, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 tayari ameshakubali mkataba na timu hiyo ya Ufaransa. (Foot Mercato - kwa Kifaransa)

PSG wanaamini kuwa wanaweza kuwashawishi Aston Villa kuwauzia mshambuliaji wa Colombia Jhon Duran, 21, na klabu hiyo ya Ligue 1 ina nia ya kumjumuisha mshambuliaji wa Ufaransa Randal Kolo Muani, 26, katika mazungumzo yoyote. (Mail)

Kiungo mshambulizi wa Uhispania Marco Asensio, 28, anatarajiwa kuhama PSG, huku Aston Villa, Juventus na Real Sociedad wakitarajiwa kuwa mojawapo wa klabu anazoweza kujiunga nazo. (Foot Mercato - kwa Kifaransa)

Barcelona wanamtaka mshambuliaji wa Newcastle United Alexander Isak na wanaweza kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 mwezi Januari au msimu wa joto, kulingana na hali yao ya kifedha. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)

AC Milan wana nia ya kumsajili beki wa Uingereza Kyle Walker, huku meneja wa Manchester City Pep Guardiola akisema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 aliomba kuondoka katika klabu hiyo ya Uingereza. (Guardian)

BBC

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’