Napoli wanatarajiwa kuwasilisha ombi la kumnunua mshambuliaji wa Manchester United na Muingereza Marcus Rashford, 27, huku winga wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia akitarajiwa kuondoka katika klabu hiyo ya Italia. (Mirror)
Paris St-Germain wanakaribia kumsajili Kvaratskhelia kutoka Napoli, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 tayari ameshakubali mkataba na timu hiyo ya Ufaransa. (Foot..... download Xtra 90 App



