Mechi za raundi ya tano hatua ya makundi michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika zinaendelea kutimua vumbi leo Jumapili ambapo mabingwa wa Tanzania Bara Yanga wako ugenini kumenyana na Al Hilal huko Mauritania
Dakika za mchezo huo utakaopigwa saa 4 usiku zitaamua hatma ya Yanga kuendelea kuwania tiketi ya robo fainali au kuyaaga mashindano hayo
Leo Yanga inahitaji ushindi au hata..... download Xtra 90 App



