Local,Normal News,Zanzibar, Burkina

Zanzibar Heroes, Burkina Faso kuhitimisha Mapinduzi Cup leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Jan 2025
Zanzibar Heroes, Burkina Faso kuhitimisha Mapinduzi Cup leo

Michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 inafikia tamati usiku wa leo wakati timu za taifa za Zanzibar Heroes, wenyeji wa michuano hiyo, na wageni Burkina Faso zitapovaana katika fainali ya kisasi kwenye Uwanja wa Gombani, visiwani Pemba

Zanzibar na Burkina Faso zinakutana tena kuanzia saa 1:00 usiku baada ya awali kuvaana katika mechi ya makundi na wageni kushinda kwa bao 1-0, hivyo leo ni zamu ya wenyeji kujitutuma na kulipa kisasi ili kuzuia taji la michuano hiyo lisiondoke nchini au iteleze tena na kuwa jamvi la wageni ikikosa kila kitu licha ya uenyeji wao.

Bingwa wa michuano hiyo iliyoanza tangu Januari 3 ikishirikisha timu za taifa badala ya klabu kama ilivyozoeleka atabeba ubingwa sambamba na zawadi ya Sh100 milioni, huku wageni wakionekana kuwa na nafasi nzuri kutokana na rekodi waliyoiweka hadi sasa ikiwa ndio timu pekee isiyoonja kipigo.

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
4m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
33m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’