Manchester United wanasemekana kumthamini winga Alejandro Garnacho, 20, kwa takribani pauni milioni 42, huku kukiwa na nia ya Napoli kumnyakua mchezaji huyo (Sport Italia)
Bayern Munich wameungana na Chelsea katika mbio za kumnunua kiungo wa kati wa Manchester United na Uingereza Kobbie Mainoo, 19. (Sun)
Manchester City wako tayari kumruhusu mlinzi Kyle Walker, 34, kuondoka bila..... download Xtra 90 App



