Simba yakumbana na rungu la CAF

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th January 2025


Simba yakumbana na rungu la CAF

Klabu ya Simba imethibitisha adhabu kutoka kwa Shirikisho la Mpira wa miguu barani Afrika (CAF) ambapo imezuiwa kuingiza mashabiki katika mchezo ujao wa kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine ambao utapigwa Jumapili, Januari 19 uwanja wa Benjamin Mkapa

Adhabu hii ni kutokana na vurugu zilizojitokeza katika mchezo uliopita nyumbani dhidi ya CS Sfaxine

Simba pia imetozwa faini ya dola 40,000 (zaidi ya Tsh 100M)


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.