Chelsea itataka ada ya pauni milioni 65 kwa mshambuliaji Christopher Nkunku, 27, huku Bayern Munich ikimtaka mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa anayeripotiwa kutokuwa na furaha Stamford Bridge. (Athletic)
Arsenal wapo kwenye mazungumzo kumnunua kiungo wa kati wa Real Sociedad na Uhispania Martin Zubimendi, 25, katika mkataba wa pauni milioni 51 msimu wa joto. (Mail)





