Klabu ya Singida Black Stars jana ilifunga dirisha dogo la usajili kibabe kwa kuinasa saini ya winga raia wa Ivory Coast Serge Pokou
Pokou ametua Singida BS akitokea Al Hilal ya Sudan ambayo inashiriki michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika ikitinga robo fainali ikiongoza kundi A ambalo imo klabu ya Yanga
Pokou aliitumikia Al Hilal katika mchezo dhidi ya Yanga uliopigwa mwishoni..... download Xtra 90 App



